Tuesday, February 19, 2019

HISTORIA YA MTUME MUHAMMAD(s.a.w)

UTANGULIZI

Bismillahi Rahmani Rahim. kila namna ya sifa njema ina mstahiki Allah. Na rehma na amani za Allah zimshukie Mtume Muhammad(s.a.w) na ziwashukie maswahaba wake na wote wenye kumfuata.

Kisha baada ya hayo yaliyotangulia. Elewa ewe Muislam kwamba hapana haja kubwa kwako ya kujifunza historia za wanafalsafa wakizungu na wanataaluma wakiyahudi. hilo ni kwa sababu ya kwamba wewe muislamu unayo historia nzuri sana ya kujifunza yenye mafunzo mengi sana kama vile adabu, ujirani mwema, Uvumilivu katika maisha , Kupendana , Kuhurumiana , Hekma , utu na haki za kibinadamu. yote hayo na mengine mengi hutoyapata kwa ukamilifu ila katika historia ya Mtume wetu Muhammad(s.a.w) ambaye ni mtukufu mno wa darja.


TWAMUOMBA ALLAH ATUPE ELIM NA ATURUZUKU KUITUMIA KATIKA MATENDO YETU.

     wasaka PEPO islamic association 
          {BUNJU, A KINONDONI DSM}
                              (2019)

No comments:

Post a Comment

 
back to top