Hivi sasa tujifunze umuhimu, ubora, na fadhila za kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
✍�� KUFUNGA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI KUNA FAIDA ZIFATAZO.
�� Kunampatia muislam aliyefunga thawabu na radhi nyingi za Allah.
�� kunamuondoshea mtu aliyefunga madhambi ya siku za nyuma
�� Kuna mkinga muislam aliyefunga kutokana na moto,Maovu na madhila ya kiulimwengu.
�� kuna mjengea muislam aliyefunga moyo wa uvumilivu.
�� kuna mpelekea aliyefunga awe na tabia njema.
�� Kunaboresha afya ya mtu kwa kias kikubwa sana.
�� Kuna mfanya mtu awe mchamungu.
�� Kunamuondoshea mtu mawazo maovu.
*FAIDA ZA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI*
�� Ni mwezi ambao ndani yake milango yote ya pepo hufunguliwa.
�� Ni mwezi ambao ndani yake milango yote ya moto hufungwa.
�� Ni mwezi ambao ndani yake Mashetani wote hufungwa minyororo.
�� Ni mwezi ambao mambo mema hufanyiwa kawili yani malipo ya mema huzidishwa mar
nyingi zaidi.
kwa sasa tuweke nukta kidogo hapo hadi kesho mchana tutakapojifunza kuhusu mwanzo wa
kufunga kwa mwezi wa Ramadhani na mwisho wake in sha Allah.
Allahu Aalam.
Imeandaliwa na Amiri wa Taasisi ya Wasaka Pepo.
MUBARACK HASSAN CHIZENGA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment